fadhilipaulo.com

  • Makala
  • Vifaa
  • Vitabu
  • Kuhusu Mimi
  • Night Mode

Kisukari

Afya ya Wanaune

Kama una miaka 50 kwenda juu

KAMA UNA MIAKA 50 KWENDA JUU Mbegu za maboga zina protini na madini ya kutosha na ya mhimu zaidi mwilini kama madini ya zinki, kopa, maginizia, manganizi na chuma. Mbegu za maboga ni tamu na zinaweza kutafunwa nyakati zozote na mahali popote hasa kwa wapenda kutafuna-tafuna kama mimi. Tafiti mbalimbali Read more…

By Fadhili Paulo, 1 day1 day ago
Kisukari

Shinikizo la juu la damu chanzo na tiba yake

Shinikizo la juu la damu chanzo na tiba yake Nini maana ya shinikizo la juu la damu? Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu. Shinikizo la juu la damu hupimwa kwa kutumia kifaa kinachoitwa Read more…

By Fadhili Paulo, 3 weeks3 weeks ago
MAAJABU YA JUISI YA UBUYU
Kinga ya mwili

Maajabu ya juisi ya ubuyu

MAAJABU YA JUISI YA UBUYU Mungu ameumba miti na mimea kwa ajili ya binadamu. Kila mti au mmea una makusudio yake. Mbuyu ni miongoni mwa miti yenye faida nyingi na maajabu mengi. Vitu vyote vilivyomo kwenye mbuyu vinatumika kama chakula au dawa kwa faida ya binadamu. Maajabu ya juisi ya Read more…

By Fadhili Paulo, 3 months3 months ago
dawa ya gauti
Afya ya Wanaune

Dawa mbadala 14 zinazotibu maumivu ya gauti

Dawa mbadala 14 zinazotibu maumivu ya gauti Gout au maumivu ya jongo kwa Kiswahili ni aina mojawapo ya maumivu ya mishipa na yanaweza kuleta maumivu makubwa katika maungio hasa katika kidole gumba cha mguu. Ishara kubwa za maumivu ya jongo ni maumivu ya uvimbe nyakati za usiku, kupatwa na hasira, Read more…

By Fadhili Paulo, 4 months4 months ago
faida za siagi ya karanga
Afya ya Wanaune

Faida 12 za Siagi ya Karanga

Faida 12 za Siagi ya Karanga Siagi ya Karanga ni moja ya vitu mhimu jikoni katika nyumba nyingi siku hizi, inapendwa na kila mtu watoto na watu wazima. Mimi napenda zaidi kuitumia kwenye mkate lakini pia unaweza kuongeza siagi ya karanga kwenye karibu kila mboga ya majani, samaki na kadharika. Read more…

By Fadhili Paulo, 4 months4 months ago
Magonjwa hatari 18 yanayotibika kwa kutumia mbegu za maboga
Afya ya Wanaune

Magonjwa hatari 18 yanayotibika kwa kutumia mbegu za maboga

MAGONJWA HATARI 18 YANAYOTIBIKA KWA KUTUMIA MBEGU ZA MABOGA Mbegu za maboga zina protini na madini ya kutosha na ya mhimu zaidi mwilini kama madini ya zinki, kopa, maginizia, manganizi na chuma. Mbegu za maboga ni tamu na zinaweza kutafunwa nyakati zozote na mahali popote hasa kwa wapenda kutafuna-tafuna kama Read more…

By Fadhili Paulo, 5 months5 months ago
faida za mafuta ya nazi
Kinga ya mwili

Faida 39 zitakazokushangaza za mafuta ya Nazi kiafya

FAIDA 39 ZITAKAZOKUSHANGAZA ZA MAFUTA YA NAZI KIAFYA Zaidi ya tafiti 1500 zimethibitisha kuwa mafuta ya nazi ndiyo mafuta bora zaidi chini ya jua. Hili halishangazi sababu karibu kila mtu anajua mafuta ya nazi ni dhahabu kwa afya ya mwili na ngozi kwa ujumla. Bidhaa nyingi za vipodozi ukizichunguza utagundua Read more…

By Fadhili Paulo, 5 months5 months ago
Kisukari

Chakula cha mgonjwa mwenye Kisukari aina ya kwanza

CHAKULA CHA MGONJWA MWENYE KISUKARI AINA YA KWANZA Kisukari ni ugonjwa wa kongosho, wakati uzarishaji wa Insulini au utolewaji wake haufanyi kazi vizuri, na ikiwa hali hii haitadhibitiwa, inaweza kusababisha matatizo makubwa kwenye macho, figo, neva, mishipa ya damu, Ini na moyo. Kisukari aina ya kwanza, ambapo Insulini inakuwa tegemezi Read more…

By Fadhili Paulo, 6 months6 months ago
Afya ya Wanaune

Ulaji wa chipsi umetajwa kuwa hatari kwa afya ya binadamu

ULAJI WA CHIPS umetajwa kuwa HATARI kwa afya ya Binadamu. ULAJI WA CHIPS umetajwa kuwa HATARI kwa afya ya Binadamu, kwani husababisha maradhi mengi yasiyo ya kuambukiza hasa FIGO, MOYO , SHINIKIZO LA DAMU,KISUKARI NA SARATANI za aina zote. SAHANI moja ya CHIPS kavu huwa na MAFUTA yanayokaribia NUSU kikombe Read more…

By Fadhili Paulo, 7 months7 months ago
Kisukari

Dalili kuu 3 za mwanzo za kisukari kwa wanaume

  Dalili kuu 3 za mwanzo za kisukari kwa wanaume 1. Upungufu wa nguvu za kiume Upungufu wa nguvu za kiume ni kitendo cha kukosa uwezo wa uume kusimama na kufanya kazi ipasavyo. Upungufu wa nguvu za kiume unaweza kuwa ni dalili za matatizo mengine ya kiafya ikiwemo shinikizo la Read more…

By Fadhili Paulo, 8 months5 months ago
Chanzo cha ugonjwa wa kisukari aina ya pili
Kisukari

Chanzo cha ugonjwa wa kisukari aina ya pili

Chanzo cha ugonjwa wa kisukari aina ya pili chanzo cha kisukari mwilini nini chanzo cha kisukari chanzo cha ugonjwa wa kisukari chanzo cha kisukari na dalili zake chanzo cha kisukari ni nini chanzo cha sukari kushuka chanzo cha sukari mwilini Kisukari ni ugonjwa wa kongosho, wakati uzarishaji wa Insulini au Read more…

By Fadhili Paulo, 9 months9 months ago
Dalili za kisukari
Kisukari

Usizidharau ishara hizi 8 za mwanzo za kisukari

Usizidharau ishara hizi 8 za mwanzo za kisukari Kisukari kinaweza kujijenga pole pole katika mwili wako wakati mwingine bila hata wewe kufahamu nini kinaendelea. Ni mhimu kwamba unapata elimu hii ya kuzitambuwa dalili za mwanzo za ugonjwa huu mbaya unaotesa mamilioni ya watu kote duniani ili uweze kuudhibiti kabla haijawa Read more…

By Fadhili Paulo, 10 months10 months ago
Kisukari

Madhara zaidi ya Kisukari katika mwili

Madhara zaidi ya Kisukari katika mwili Kupenda vitu vitamu hususani jamii ya sukari huwa ni tamu sana kwenye ulimi lakini changamoto inakuja kule inakoelekea kwa ajili ya kutunzwa na kutumika, hapo ndo husababisha changamoto mbalimbali mwilini hasa kwenye baadhi ya viungo vya mwili. Madhara ya muda mrefu ya ugonjwa wa Read more…

By Fadhili Paulo, 12 months10 months ago
madhara ya kukaa kwenye kiti masaa mengi
Afya ya Wanaune

Kukaa muda mrefu kwenye kiti husababisha kufa mapema

Kukaa muda mrefu kwenye kiti husababisha kufa mapema Pengine tayari unafahamu kuwa kutokujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara ni hatari kwa afya yako. Ndiyo hilo ni jambo ambalo kila mtu analijuwa (common sense). Vipi lakini ikiwa ni kweli unajitahidi kila siku kutimiza jukumu hilo la kufanya mazoezi dakika Read more…

By Fadhili Paulo, 1 year7 months ago
Chakula cha mgonjwa wa kisukari
Kisukari

Chakula cha mgonjwa wa kisukari aina ya pili

Chakula cha mgonjwa wa kisukari aina ya pili Chakula bora kabisa kwa mgonjwa wa kisukari ni kile ambacho ni chakula cha asili na si kile ambacho kimetengenezwa kiwandani. Unahitaji chakula ambacho hakijakobolewa, unahitaji zaidi matunda na mboga za majani. Kutumia vyakula hivi naenda kukueleza kwenye hii makala kutakusaidia kupata mahitaji Read more…

By Fadhili Paulo, 1 year12 months ago
Bonyeza kitufe ili kubadili rangi ya blog

Yaliyomo
  • Afya ya Nywele
  • Afya ya Wanaune
  • Bawasiri
  • Kinga ya mwili
  • Kisukari
  • Matatizo ya Ngozi
  • Matatizo ya Uzazi
  • P.I.D
  • Pumu
  • Shinikizo la damu
  • TeziDume
  • U.T.I
  • Uzito na Unene
  • Vidonda vya tumbo
Siku ya kupata Ujauzito

Tafuta siku zako za hatari

Siku ya kwanza uliopoona hedhi ya mwisho

Mzunguko wako ni wa siku ngapi

POKEA DONDOO ZA AFYA

WhatsApp Messenger - Apps on Google Play

Pokea dondoo na makala mbalimbali kuhusu afya hususani zinazohusu tiba asili kupitia WhatsApp BURE

Jiunge na Group langu la AFYA KILA SIKU WhatsApp kwa kubonyeza hapa

Karibu

  • Makala
  • Vifaa
  • Vitabu
  • Kuhusu Mimi
  • Night Mode
Copyright © 2021 fadhilipaulo.com | * *