Dawa ya saratani ya tezidume

Dawa ya saratani ya tezidume
Tezi ya prostate ni tezi yenye umbile la donati, iliyoko chini ya kibofu cha mkojo.
Tezi hii huzungukwa na mirija ya mkojo na uhusika uzalishaji wa maji maji yanayohusika na urutubishaji na usafirishaji wa mbegu za kiume (semen).
Mabadiliko ya kimaumbile katika tezi dume kama; uvimbe au ongezeko la ukubwa huleta hitilafu katika mfumo mzima wa mkojo kutokana na ukaribu wa maumbile hayo.
Uvimbe katika tezi dume husukuma mirija ya mkojo kwa kuibana na kufanya mkojo upite kwa shida, ukwame au kuchuruzika bila kukusidia. Hali hii humpelekea mgojwa uhitaji wa kutumia bafu mara kwa mara.
Zaidi huwa vigumu kwa mgojwa kuzuia mkojo usichuruzika au kukwama . (Maumbile ya mwili, yamekadiriwa kulingana na nafasi iliyopo, hivyo umbile moja linapoongezeka ukubwa kinyume cha taratibu huleta hitilafu kwa mfumo mwingine jirani).
BAADHI YA MATATIZO YA TEZI YA PROSTATE
Prostate Cancer ( Saratani ya tezi ya Prostate ) Saratani ya prostate ni saratani inayowashambulia wanaume hasa wa umri wa miaka 50 na kuendelea.
Saratani hii huweza kutibika kwa mionzi (radiation), upasuaji, chemotherapy au hormonal therapy.
Prostatitis (Uvimbe wa tezi ya Prostate); Hii ni hali ya uvimbe wa tezi ya prostate au eneo jirani inayosababishwa na vimelea maambukizi ( bacteria infection).
Hali hii hutibika kwa dawa za Antibiotics chini ya mwongozo wa daktari.
Enlarge Prostate au Benign Prostate Hypertrophy (BPH) Ongezeko la ukubwa wa tezi ya prostate Hali hii hutokea kwa wanaume wengi hasa waliopita umri wa miaka 50 na kundelea na huwa chanzo cha kusababisha hitilafu katika mfumo mkojo.
Ongezeko la size ya umbile la tezi ya prostate hufinya njia ya mkojo na hupelekea kizuizi katika mrija na kibofu cha mkojo (Chronic Bladder Obstruction) .
Hali hii hutibika kwa dawa au upasuaji
Dalili za ongezeko la ukubwa wa tezi ya prostate;
- Maambukizi ya mfumo wa mkojo mara kwa mara ( Urinary Tract Infection,UTI);
- Mabaki ya mkojo kwenye kibofu au mkojo uliosimama kwa muda mrefu ni chanzo cha maambukizi ya mfumo wa mkojo
- Mawe katika njia ya mkojo
- Mkojo wenye matone ya damu
- Kukojoa mara kwa mara (mabaki ya mkojo katika kibofu hupelekea mtu kuhisi anahitaji kukojoa mara kwa mara japo mkojo unaopatikana ni kidogo sana)
- Mkojo unaosita Mkojo unaoshindikana kuzuia wa haraka na ghafla Kuvuja kwa mkojo kidogo kidogo
- Mkojo unaokatikakatika
- Mkojo wa mara kwa mara usiku (Nocturia)
- Mkojo unaokulazimu kujikakamua
Dawa ya saratani ya tezi dume – Juisi ya Majani ya Mstaferi

JUISI YA MAJANI YA MSTAFELI NI DAWA YA SARATANI YA TEZI DUME KILA MTU AMEKUWA AKIIZUNGUMZIA
Juisi ya Majani ya mti wa mstafeli imekuwa ikitumika na watu kwenye misitu ya amazon kwa maelfu ya miaka iliyopita kutibu karibu kila ugonjwa.
Ndiyo hii inaweza kuwa ni habari mpya kwako hasa kama wewe siyo mfuatiliaji wa mambo haya ya tiba asili kwa ujumla lakini sasa habari unayo.
Mti huu wa mstaferi ndiyo tiba asili pekee inazungumziwa sana na watu wote duniani kwa sasa kuhusu maajabu yake ya kutibu saratani mbalimbali ikiwemo saratani ya tezi dume.
Na hiyo yote ni kwa sababu nzuri tu ….
Juisi ya Majani ya mti wa mstafeli inaziua seli za saratani mara 10000 zaidi ya mionzi.
Na jambo la ajabu zaidi ni kuwa dawa hii haizidhuru seli hata kidogo tofauti na tiba ya mionzi ambayo inaziua mpaka seli nyingine zenye afya wakati wa matibabu yake.
Yaani dawa hii ya juisi ya majani ya mstafeli huziwinda seli za kansa na kuziua huku ikikuachia seli zako zenye afya bora zaidi.
Kama haitoshi juisi ya majani ya mstafeli inaongeza pia idadi na uwingi wa seli zako nyeupe za damu na kuongeza kinga ya mwili kwa haraka sana.
Juisi ya tunda la mti huu hutumika kutibu Ukoma (leprosy)
Juisi ya Majani ya mstaferi imethibitika siyo kutibu saratani au kansa ya tezi dume bali na aina nyingine za saratani zaidi ya 12 ambazo ni pamoja na:
1. Saratani ya damu
2. Saratani ya matiti
3. Saratani ya mlango wa kizazi
4. Saratani ya mapafu
5. Saratani ya ini
6. Saratani ya mdomo
7. Saratani ya kwenye ulimi
8. Saratani ya kongosho
9. Saratani ya kwenye mji wa uzazi
10. Na Saratani nyingine nyingi
Juisi ya Majani ya mstafeli ni dawa nzuri dhidi ya bakteria na fangasi mbalimbali mwilini na hivyo ni kinga dhidi ya maambukizi ya kila namna.
Juisi ya Majani ya mstafeli inatibu pia:
1. Kisukari
2. Gout (maumivu ya jongo)
3. Maumivu ya mgongo
4. Yanaongeza kinga ya mwili
5. Yanaimarisha afya ya tumbo kwa ujumla
6. Kufunga choo
7. Msongo wa mawazo (stress)
8. Yanaimarisha afya ya nywele
9. Yanaimarisha afya kwenye mfumo wa upumuwaji
10. Yanaongeza afya ya ngozi
11. Mazuri kwa afya ya moyo
12. Yanadhibiti homa na kutuliza joto la mwili
13. Huongeza uzalishaji wa maziwa kwa mama anayenyonyesha
14. Huongeza stamina ya mwili na kurahisisha kupona haraka unapokuwa mgonjwa
15. Hutibu maumivu ya kichwa
16. Hutibu jipu na vivimbe
17. Hutibu tatizo la kukosa usingizi
18. Hudhibiti ukuwaji wa bakteria, virusi, vijidudu nyemelezi na uvimbe
19. Ni tiba ya asili ya maumivu ya mishipa, yasage majani yake mpaka yalainike kabisa kisha paka taratibu eneo la mshipa lililo na maumivu mara 2 kwa siku
Dawa kubwa ya saratani ambayo watu wengi hawaifahamu …
Kuna wakati namtafakari Mungu na nashindwa kupata majibu kwamba kuna wakati watu wanateseka sana lakini bila sababu yoyote maalumu zaidi ya kukosa tu maarifa.
Kile nitakushangaza kidogo hapa ni kuwa uwezo huu wa majani ya mstafeli kutibu kansa uligundulika tangu mwaka 1976 na taasisi ya saratani ya Marekani lakini matokeo yake hayajawahi kuwekwa hadharani kwa watu!
Kwanini hawakutaka kutangaza kwa watu?
Hakuna mtu anayejuwa kwa hakika sababu ni nini iliyowafanya wabaki na matokeo hayo bila kutangaza kwa watu.
Hata hivyo wengi wanaamini ni kutokana na vipimo na matibabu ya ugonjwa huu kuwa ni dili kubwa kwa viwanda vya madawa na biashara kubwa kote duniani.
Sababu kuweza kutibu ugonjwa mkubwa hivyo (kwa mjibu wa maoni yao) kwa kutumia mmea rahisi hivyo kupatikana ni jambo lisilo na faida. Matatizo mengi ya binadamu chanzo chake kikuu cha matatizo hayo ni hela.
Pamoja na hayo Mungu yupo na hatatuacha watu wote tuangamie kijinga hivyo. Wachache atatuokoa tu kwa namna yoyote. Hivyo watu wengi tayari wameanza kugeuka upande huu wa pili na tayari wanaona faida zake.
Ni dawa nzuri kwa kansa karibu zote pia inaondoa uvimbe wa aina yoyote.

.
Mimi nimekupa taarifa hizo bure na wewe endelea kupeleleza zaidi na kufanya utafiti binafsi zaidi.
Dawa hii isitumike kwa watu wafuatao:
1. Wenye shinikizo la chini la damu
2. Wanaotumia dawa za hospitali za kutibu msongo wa mawazo (stress/depression)
3. Wajawazito
4. Watoto chini ya miaka miwili
5. Isitumike kwa kipindi kirefu mfululizo, iwe ni miezi miwili au mitatu na si zaidi ya hapo kwa mfululizo
6. Unaweza ukapatwa na uchovu au na hali ya kutojisikia vizuri au ukaharisha siku mbili au tatu za mwanzo wakati unaanza kuitumia hii dawa hali ambayo baadaye hutoweka
Kama unahitaji juisi freshi ya majani ya mstafeli nipigie simu 0714800175.
Na ukinunua dawa hii kutoka kwangu na siyo sehemu nyingine utapata faida hizi nne zifuatazo:
- Utakuwa rafiki yangu
- Nitahakikisha tatizo lako linaisha na halijirudii tena
- Nitakupa maelezo zaidi kuhusu matumizi kulingana na umri na uzito wako
- Nitawajibika kwa lolote linaloweza kukutokea wakati unaendelea kutumia dawa
Tafadhali SHARE post hii na wengine Uwapendao
Jiunge na mimi na watu wengine zaidi ya 94000 kwenye ukurasa wangu wa facebook kwa kubonyeza hapa
- Utafiti : wanaume maskini wana nguvu nyingi kitandani kuliko matajiri - 01/14/2021
- Jinsi ya kupunguza uzito huku unacheka - 01/11/2021
- Dawa za asili zinazootesha nywele na kuzuia upara - 01/10/2021
0 Comments