Dalili na ishara 50 zinazoonyesha una msongo wa mawazo (stress) Hali ya mfadhaiko inasemwa kutokea wakati ubongo unapokabiliana na tatizo la mvurugiko wa akili na kujikuta ukishindwa kuendana na hali zingine zinazohitaji umakini kwa wakati mmoja. Jambo hili linaweza kuuteka Read more…
Dawa asili na vyakula 20 vinavyotibu tatizo la msongo wa mawazo (stress) Hali ya mfadhaiko inasemwa kutokea wakati ubongo unapokabiliana na tatizo la mvurugiko wa akili na kujikuta ukishindwa kuendana na hali zingine zinazohitaji umakini kwa wakati mmoja. Jambo hili Read more…
Kukaa muda mrefu kwenye kiti husababisha kufa mapema Pengine tayari unafahamu kuwa kutokujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara ni hatari kwa afya yako. Ndiyo hilo ni jambo ambalo kila mtu analijuwa (common sense). Vipi lakini ikiwa ni kweli Read more…
Jana saa tatu usiku Mungu amenipa mtoto mwingine tena wa kiume.
MGENI mpya hapa nyumbani!
Ni miujiza mitupu
Nina furaha hapa ambayo haielezeki
Furaha niliyonayo leo siwezi kuieleza mtu akanielewa
Nabubujikwa tu na machozi ya furaha na siamini kile kinaendelea
Amezaliwa jana tarehe 23 mwezi wa nne
Cha kushangaza hapa hata mwanangu mwingine kabla ya huyu (ni wa kiume pia) naye alizaliwa tarehe 23 mwezi wa 7
Kama kawaida wakati wote wa ujauzito sikutaka kufahamu jinsia ya mtoto, nilimwambia mke wangu hakuna kufanya kipimo kufahamu jinsia ya mtoto ili ije iwe kama surprise na ndicho kilichotokea na watoto wangu wote ni hivi hivi huwa sipendi kufuatilia jinsia kabla ya kuzaliwa na huwa nipo tayari kwa mtoto wa jinsia yoyote!
Tofauti na safari zingine, safari hii roho mtakatifu kwa ishara kadhaa alikuwa akiniambia nitapata wa kiume tena na ndicho kilichotokea, kama wiki 1 kabla nilikuwa kariakoo nikanunua viatu vimeandikwa HB nikajua tu hapa handsome boy yupo njiani anakuja na kweli imekuwa hivyo!!!
Mungu ni mwema sana nashindwa hata niseme nini
Lakini cha ajabu zaidi ni kuwa hata mimi baba yao pia nilizaliwa tarehe 23 ila mwezi na mwaka nimesahau kidogo!
Ahsante sana Mungu
Ngoja nikanunue kuku mkubwa wa kienyeji nichinje nile leo.
Sasa nina jumla ya watoto watano, wa kiume watatu na wa kike wawili na nafikiri wanatosha sasa kwa sasa!
Vumbi hili lina majina mengi sana nayo ni Kasongo, Mundende, putururu, Mpesu, nk. Vumbi hili si vumbi kama vumbi la stoo, barabarani, shambani nk. Hili ni vumbi linalotokana mizizi au magome ya mti unaitwa MPESU au Violet tree (kitaalam unaitwa Read more…
Jinsi ya kuongeza nguvu za kiume bila kutumia dawa Kwenye makala hii nafundisha jinsi unavyoweza kuongeza na kuimarisha nguvu zako za kiume bila kutumia dawa. Ni kweli inawezekana kabisa kuimarisha nguvu zako za kiume bila kutumia dawa kama unafahamu ni Read more…
Jinsi kuchepuka kunavyoleta tatizo la upungufu wa nguvu za kiume Leo nitazungumzia namna kuchepuka kunavyoleta upungufu wa nguvu za kiume. Na hii ni pale mwanaume anapogundua mkewe anachepuka. Hapa unakuwa umefahamu na una uhakika kabisa mkeo amechepuka au anaendelea kuchepuka. Read more…
Wanawake 500 wapata mimba kwa upandikizaji Arusha. Mwanamke mmoja (50), amefanikiwa kupata watoto mapacha kwa njia ya upandikizaji mimba jijini Arusha. Mwanamama huyo ni mmoja kati ya wanawake 500 waliofanikiwa kupata watoto kwa huduma hiyo inayotolewa na kituo cha Huduma Read more…
Je mgonjwa wa vidonda vya tumbo anaweza kufunga kula? Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania… Napenda kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, mwenye neema nyingi kwa kuendelea kunipa afya njema na uhai mpaka leo. Ni kwa neema Read more…
Kwanini mgonjwa wa bawasiri unashauriwa kuacha kunywa pombe Moja ya magonjwa yanayoendelea kusumbua watu ni ugonjwa wa bawasiri. Baada ya u.t.i, vidonda vya tumbo, ugonjwa wa tatu unaotesa watu wengi duniani kwa sasa ni ugonjwa wa bawasiri. Shida iliyopo ni Read more…
Dawa ya asili inayoondoa ganzi mwilini Ganzi mikononi na miguuni inamaanisha kukosekana kwa fahamu katika sehemu hizo. Hisia ndiyo inakosekana sababu kunakuwa hakuna damu na neva zinakosa mawasiliano ya moja kwa moja na ubongo. Ni jambo la kawaida linalowapata watu Read more…
Dalili kuu 5 zitakazokuonyesha unapungukiwa nguvu za kiume Unazifahamu dalili za kukuonyesha kuwa unapungukiwa au una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume?. Kwenye mwili wa binadamu kuna mambo mengi ambayo hatuyaelewi na mara nyingi huwa hatuna muda wa kuyapeleleza. Read more…
Dawa ya asili inayoongeza kinga ya mwili Kumbuka, ile hali ya kuonekana umezeeka au mwili wako kuonekana umechoka mara zote huwa kuna uhusiano wa moja kwa moja na kushuka kwa kinga yako ya mwili hali ambayo inauacha mwili wako kushambuliwa Read more…
Mwezi uliozaliwa na aina ya magonjwa yanayoweza kuwa yanakusumbua mara kwa mara Hakuna mtu anafahamu kwa hakika ya asilimia 100 ataumwa ugonjwa gani na ataumwa lini. Hiyo bado ni siri ya Mungu. Na kwa bahati mbaya ni kuwa kila mtu Read more…
Je punyeto inasababisha ugumba kwa wanaume? Nimeshaandika mengi sana kuhusu punyeto au kujichua kwenye hii blog. Mengi sana. Nimeshaandika madhara ya punyeto kwa jinsia zote mbili. Punyeto ni kitendo cha mtu akiwa peke yake kulazimisha hisia zake huku akitumia mkono Read more…
Dawa ya asili inayootesha nywele na kuzuia upara Hakuna kitu kinavutia zaidi kama kuwa na nywele nzuri za kutosha na zenye afya yake ya asili. Hata hivyo tatizo la kupotea kwa nywele au upara ni tatizo kubwa linalowapata watu wengi Read more…
Vyakula vya asubuhi vya mgonjwa wa vidonda vya tumbo Mgonjwa wa vidonda vya tumbo ni lazima uwe makini sana na chakula unachokula kila siku. Chakula unachokula kila siku kitaamua ikiwa dawa unayotumia kutibu vidonda vya tumbo itakuponya na kukuacha huna Read more…
Sababu kuu 2 za wanawake kupenda kujichua Nitumie nafasi hii kutoa salamu kwa wanawake wote katika sikukuu hii yao ya leo, siku ya wanawake duniani tarehe 8 machi 2022. Mimi mpaka hapa nilipo nimefika kwanza kwa kuzaliwa na mwanamke lakini Read more…
Dawa ya asili inayotibu chunusi Chunusi ni ugonjwa wa ngozi ambao hujitokeza kama viuvimbe au vipele vidogo vidogo hasa sehemu za uso, kifuani na hata mgongoni. Vipele hivi hutokea wakati vishimo vya kupitisha jasho katika ngozi vinapozibwa kwa mafuta au Read more…
Uhusiano wa kitambi na upungufu wa nguvu za kiume Wanaume wengi wanaopenda kufuatilia afya zao huwa hawapendi kuwa na kitambi na wanafanya kila wawezalo ili kukiepuka. Lakini wapo baadhi ya wanaume wachache ambao huhangaika kwa kila njia ili wapate kuwa Read more…
Vyakula vinavyoongeza kinga ya mwili Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kinga ya mwili ni kitu gani na je ni nini tufanye ili kuiongeza hiyo kinga ndani ya miili yetu. Suala la kuimarisha na kuiongeza kinga ya mwili linapaswa kuwa ni jambo Read more…
Sababu zingine 6 za mke kupoteza hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa Kesi za wanawake kupoteza hamu ya tendo la ndoa zimezidi kuongezeka tangu mwanzoni mwa mapinduzi ya viwanda hapo mwanzoni mwa karne ya 19. Kila mtu ana sababu Read more…
Dawa ya kuacha punyeto Bila shaka umzima na unaendelea vizuri na mwaka mpya. Kwa sababu hii ni makala yangu ya kwanza tangu mwaka huu uanze basi napenda kutumia nafasi hii kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuvuka salama na kuuona mwaka mwingine Read more…
Namna ya kufahamu mzunguko wako wa hedhi ni wa siku ngapi Ili kufahamu vizuri ni siku zipi ni hatari kwa mwanamke kupata mimba, unahitaji kwanza kujifunza jinsi mzunguko wa hedhi (menstrual cycle) unavyofanya kazi. Mzunguko wa hedhi unaanza kuhesabiwa siku Read more…
Nitajuaje kama ujauzito wangu umetoka? Kama unatafuta dawa ya asili ya kuzuia ujauzito usitoke wasiliana na mimi kwa kubonyeza hapa Dalili za wazi kabisa za ujauzito kukutoka ni damu kutoka na maumivu ya tumbo. Onana na daktari wako wa karibu Read more…
Dodoma inavyomaliza mwaka na huduma ya kupandikiza mimba Dodoma. Zikiwa zimebaki siku chache kufunga mwaka wa 2021, ndoto ya Tanzania kuanza kutoa huduma ya kupandikiza mimba kwa wanawake wenye matatizo ya uzazi imeanza kuonekana kwenye Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Read more…
Namna punyeto inavyosababisha kusinyaa kwa uume Kudumaa, kusinyaa na kunywea au kurudi ndani kwa uume ni tatizo linalo wakabili wanaume wengi duniani. Dalili za tatizo hili ni pamoja na kuwa na uume mdogo sana na uliodumaa, sinyaa na kurudi ndani Read more…
Sababu kuu 10 za uume kusinyaa na kuwa mdogo Kadri anavyoendelea kuishi kuna wakati utafika mwanaume ataanza kugundua uume wake umeanza kupungua na kuwa mdogo tofauti na alivyokuwa na miaka 20 mpaka 35 hivi.. Kusinyaa kwa uume ni jambo la Read more…
Mabadiliko matano yanayotokea kwenye uume wako kadri unavyozidi kuwa mzee Kama vile ngozi yako inavyobadilika kadri unavyozidi kuwa mzee kadharika kuna mabadiliko pia yatatokea hata kwa upande wa mheshimiwa. Najua ungependa mheshimiwa aendelee kubaki kama ulivyokuwa na miaka 25 lakini Read more…
Hasara inayoweza kutokea mke anapoishiwa hamu ya tendo la ndoa mara kwa mara Nakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania … Ni matumaini yangu umzima na unaendelea na kazi na majukumu yako ya kujenga maisha yako na taifa Read more…
Vyakula na vinywaji 11 ambavyo mama mjamzito hatakiwi kula. Kitu cha kwanza kabisa unachotakiwa kujifunza mara tu unapopata ujauzito ni kufahamu vyakula na vinywaji ambavyo hutakiwi kula. Bila kuwa makini wakati huu unaweza kukutana na matatizo mengi yanayotokana na ujauzito Read more…
Siri 5 za watu wanaofanikiwa kuishi miaka mingi Hakuna mtu asiyependa kuishi miaka mingi. Hakuna mtu anayependa kufa mapema. Kila mtu anapenda kuishi walau miaka 100. Anayepanga uishi miaka mingapi kwa sehemu kubwa ni Mungu peke yake. Kwenye suala la Read more…
Mtongoze mwanamke yoyote kwa kutumia mbinu hii Kwa wale wenzangu na mimi a.k.a kina domo zege leo ni bahati yetu na hatimaye shida kubwa iliyokuwa ikitusumbua inaweza kuisha leo! Ndiyo kwa mwanaume ambaye ni muoga wa kutongoza mtaani tumezoea kumuita Read more…
Sababu 4 kwanini hupati ute wako wa uzazi Ute wa mimba ni ute unaovutika, ni ute muhimu sana linapokuja suala la kutungwa kwa ujauzito. Ute huu ambao huvutika mithili ya yai husaidia mbegu kuogelea na kupenya kwenye mlango wa kizazi Read more…
Jinsi ya kuishi inapogundulika huna uwezo kabisa wa kupata mtoto Umeshatafuta mtoto kwa miaka mitatu, kwa miaka mitano au hata miaka kumi na hakuna dalili zozote kama utakuja kumpata. Mmeshapima kila hospitali na imegundulika wazi hakuna uwezekano tena wa kupata Read more…
Je inachukua muda gani madhara ya punyeto kupotea OK ok Hili ni swali nimekuwa nikiulizwa mara kadhaa na wanaume huko WhatsApp Nafikiri leo utapata jibu sahihi na la kueleweka zaidi kuhusu swali hili. Moja ya tabia ya mtu anayependa kujichua Read more…
Magonjwa 10 yanayosababisha upungufu wa nguvu za kiume Kushuka kwa nguvu za kiume hakutokani tu na punyeto au vilevi au kutokushiriki mazoezi ya viungo kila mara Pia siyo jambo la kushindwa kufahamu ule nini au usile nini Wakati mwingine nguvu Read more…
Faida 15 za kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara Utafiti mmoja wa mwaka 2015 ulihitimisha kwamba kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara kuna uhusiano mkubwa na wa moja kwa moja wa ubora wa afya yako na maisha yako Read more…
Roseline Orwa ni mama wa miaka 46, yeye ni mwanamke mjane ambaye hakufanikiwa kushika mimba wakati wa ndoa zake mbili , ila hilo halijamkosesha usingizi kwa kukubali hali yake. Baada ya yeye kuamua kuwa, licha ya changamoto ya kuwa hana Read more…
Mwanaume mwenye sifa hii anapendwa na wanawake wote. Leo nitakueleza kwa undani kabisa ni nini hasa wanawake wanapenda kutoka kwa waume zao au wachumba zao. Wanaume karibu wote kote duniani wamekuwa na swali hili na kutaka KUFAHAMU ni nini hasa Read more…
Ukweli na uzushi kuhusu homoni ya testosterone Kichocheo cha testosterone ni homoni ambayo hupatikana zaidi kwa upande wa mwanaume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanaume pia. Kadri umri unavyoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji Read more…
Maswali ninayoulizwa mara kwa mara na wanaume Leo nimependa kuchukua nafasi na muda huu kujibu kwa kina baadhi ya maswali ambayo nimekuwa nikiulizwa mara kwa mara na wanaume huko WhatsApp. Aidha yapo pia maswali mengine ambayo nimekuwa nikiulizwa mara kwa Read more…
Utafiti: Saratani ya tezidume inawapata zaidi wanaume wagumba Imethibitishwa saratani ya tezi dume inawapata zaidi wanaume wagumba. Saratani ya tezi dume na tatizo la mwanaume kutokuwa na uwezo wa kutungisha mimba yaani ugumba ni matatizo ya kawaida ya kiafya yanayowakumba Read more…
Sababu kuu kwanini maziwa fresh ni hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo Kunywa Maziwa fresh hakuwezi kukusaidia kupona vidonda vya tumbo. Unaweza kupata nafuu kidogo baada ya kunywa maziwa lakini baadaye kidogo maziwa uliyokunywa yanakusababishia uundwaji zaidi wa asidi Read more…
Uvutaji bangi unaweza kukuletea saratani ya tezi dume Mtanisamehe kidogo ndugu wajumbe kwa leo sitawaonea aibu. Baadhi ya tafiti zimeweza kuthibitisha juu ya uwepo wa uhusiano baina ya bangi na saratani ya tezi dume. Zaidi ya tafiti 25 zilizofanywa ndani Read more…
Je kutopata mtoto kunakuondolea hamu ya tendo la ndoa? Nafahamu hilo na sidhani kama hilo ni swali la kuuliza. Sababu inajulikana wazi kwamba ikiwa umekaa miaka kadhaa na hupati mtoto basi ni jambo la kawaida kabisa kuishiwa hamu ya tendo Read more…
Vyakula 6 vinavyoongeza uume Afya nzuri kabisa ya tendo la ndoa ni jambo linalotamaniwa na watu karibu wote popote duniani Na katika juhudi zao za kutaka kuimarisha afya zao za kitandani watu wamekuwa wakitumia mbinu mbalimbali kuanzia kwenye kutumia dawa Read more…
Dawa ya kupata ute wa mimba Ute wa uzazi anaoupata mwanamke pale anapokuwa katika kipindi cha upevushaji mayai ndiyo unaosaidia mbegu za kiume ziweze kusafiri hadi katika yai lililopevuka katika mrija wa uzazi. Kwa kawaida ute wa uzazi ni mwepesi Read more…
Je unaweza kupata ujauzito wakati unaendelea kutumia dawa za uzazi wa mpango? Dawa karibu zote za uzazi wa mpango zile za kizungu na hata za asili zote zina asilimia mpaka 99 tu za kufanya kazi ya kuzuia usipate ujauzito hasa Read more…
Mbinu nyingine zaidi ya kupata ujauzito wa watoto mapacha Leo nimependa nikuletee elimu mpya kabisa ya uzazi ambapo mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake. Baadhi ya mila na desturi, hasa katika Read more…
Vyakula 7 vinavyoongeza uwezekano wa kupata watoto mapacha Nakumbuka siku mke wangu alipojifungua mtoto wa kiume nilienda kununua kuku mzima wa kienyeji akabanikwa nikachukua na mvinyo mwekundu (red wine) nikatafuta sehemu nikasherekea kwa furaha kuu. Ilikuwa ni siku ya furaha Read more…
Dawa ya kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha mbegu za kiume na kutibu saratani ya tezi dume – Msamitu Msamitu ni mchanganyiko wa mimea na mitishamba mbalimbali ya asili. Ni dawa nzuri sana katika kutibu tatizo la nguvu za kiume na Read more…
Je kushiriki tendo la ndoa mara nyingi kunaongeza furaha zaidi? Je wanandoa wanatakiwa kushiriki tendo la ndoa mara ngapi kwa mwezi ili kujihakikishia uhusiano mzuri na wenye furaha? Utasoma hii pia 👇 Je ukubwa wa uume una umhimu wowote kwenye Read more…
Vitu 10 vinavyoweza kusababisha upate watoto mapacha Tafiti zinaonyesha kwamba uwezekano wa mwanamke mmoja kubeba mimba ya mapacha ni aslimia 3 na kuna njia mbalimbali zinaweza kuongeza uwezekano huu mpaka asilimia tano au kumi na tutaziona hapo chini. Kwenye ulimwengu Read more…
Je ukubwa wa uume una umhimu wowote kwenye mahusiano? Wanaume nao hufuatilia fuatilia kuhusu miili yao kama vile wafanyavyo pia wanawake. Maswali kama je mimi ni mnene sana? ni mrefu? ni mwembamba? ni mfupi? je nikipita barabarani naonekana nimependeza na Read more…
Sababu kuu 7 kwanini wanawake wanachepuka Asilimia mpaka 45 ya wanawake waliopo kwenye ndoa wanachepuka. Kumbuka sababu za mwanamke kuchepuka ni nyingi na hakuna namna wewe kama mwanaume unaweza kufanya ili kumzuia mkeo asichepuke. Haijalishi wewe mwanaume ni nani na Read more…
Mwanamke akikupenda sana anaweza kuchepuka Mkeo akikupenda SANA anaweza kuchepuka 😂😂😂 Huenda ulikuwa bado hujuwi kuhusu hili lakini moja kati ya sababu nyingi zinazoweza kumshawishi mkeo achepuke inaweza kuwa ametokea kukupenda sana kupita kiasi. Hiyo ni ngumu kuielewa lakini nitajaribu Read more…
Je unaweza kupata ujauzito ukiwa kwenye siku zako? Hili ni moja ya swali kongwe sana kwenye mada zinazohusu uzazi. Ni swali ambalo linaulizwa sana hasa na wanafunzi au na watu wasio tayari kupata ujauzito. Swali hili huulizwa pia na watu Read more…
Madhara 10 ya kupiga punyeto kwa wanawake Mara nyingi tumekuwa bize tukizungumzia madhara au athari za kujichua kwa wanaume bila kuwahi kuzungumzia madhara hayo kwa wanawake. Ukweli ni kuwa wanawake nao wanajichua au wanajipiga punyeto kama wanaume na kitendo hicho Read more…
Jinsi ya kuongeza uume bila dawa Ukubwa wa uume unategemea vitu kama kiwango cha mhemuko, muda, hali ya hewa na unashiriki tendo la ndoa mara ngapi. Si wanawake pekee ambao huwa bize kuona wanakuwa na maumbile mazuri na kwamba wanakuwa Read more…
Unaifahamu G-Spot, vipi kuhusu A-Spot? Watu wengi au wanaume wengi wanafahamu kuhusu G-Spot lakini hawaifahamu A-Spot Ndiyo, nafahamu wapo wengine wengi hata hiyo G-Spot yenyewe hawajui inapatikana wapi kwenye mwili wa mwanamke Wataalamu wengi wa elimu ya tendo la ndoa Read more…
. Siku ya hatari kupata ujauzito: Je unahitaji au unataka kujuwa siku yako ya hatari kupata ujauzito? Unataka kujuwa ni zipi hasa au siku ipi hasa unayoweza kupata ujauzito? Tumia calculator hiyo hapo juu kufahamu hilo a)Andika tarehe ya siku Read more…
Sababu kuu 2 kwanini huponi vidonda vya tumbo Je vidonda vya tumbo vinatibika? Vidonda vya tumbo vina dawa? Vidonda vya tumbo vinapona? Basi nimeshakutana na maswali ya namna hii kutoka kwa wasomaji wangu wengi kwa muda mrefu sana. Hii inatuma Read more…
Sehemu kuu 8 zenye msisimko zaidi katika mwili wa mwanamke ZIFUATAZO NI SEHEMU KUU 8 ZENYE MSISIMKO KATIKA MWILI WA MWANAMKE: 1. NYWELE Sehemu ya kwanza yenye msisimko katika mwili wa mwanamke ni kwenye nywele, katika sehemu hii huleta msisimko Read more…
Linapokuja suala la afya siamini kama tunahitaji mpaka mtu fulani aje kutuhimiza kuchunga afya zetu. Kuwa na hela nyingi hakuna maana yoyote kama una afya mbovu. Ni bora uwe na hela kidogo Lakini una afya nzuri kuliko uwe na pesa Read more…
PICHA NA VIDEO ZA UCHI NA NGONO, NAMNA YA KUSHINDA! [MUHIMU SANA KWA VIJANA] Nadhani Picha Za Akina Dada Wakiwa NUSU UCHI AU UCHI Zinawalenga Zaidi Akina Kaka… Picha Za Akina Dada Wenye NGUO ZA KULALIA TU, AMA NGUO ZA Read more…
Dalili zitakazokuonyesha mkeo au mpenzi wako amefika kileleni Kufika kileleni ni hali ya mwanamke kufika mshindo baada ya kushiriki tendo la ndoa au kujichua mwenyewe, hali hii humfanya hamu ya ngono aliyekua nayo mwanzo kupungua sana. Katika 100% ya wanawake Read more…
UTAFITI : Wanaume maskini wana nguvu nyingi kitandani kuliko wanaume matajiri Tofauti na watu wengi tunavyojuwa na kufahamu na kuamini kuwa watu wenye hela watakuwa na nguvu za kiume za kutosha kitandani, utafiti wa hivi karibuni unatoa majibu tofauti na Read more…
Makosa makubwa kabisa 6 wafanyayo wanawake kitandani Nimewahi kuandika huko siku za nyuma makosa makubwa manne wafanyayo wanaume kitandani, ni makala ilipendwa sana na wote na unaweza kuiona na kuisoma wakati wowote kwa kubonyeza hapa. Baadhi ya watu walinitafuta Read more…
Sababu 9 zinazosababisha ukose au uchelewe kuona siku zako Kwa mwanamke kuchelewa kupata hedhi huwa hakushitui iwapo mwanamke anajua ni nini tatizo au sababu iliyopelekea yeye kukosa hedhi. Na majibu ya kuchelewa kwa hedhi hupatikana pindi hedhi hiyo inapochelewa. Mfano Read more…
Vidonda vya tumbo vimegawanyika katika makundi matatu makuu na leo nitajadili kwa kina aina hizo za magonjwa haya ya tumbo kama ifuatavyo: 1. Vidonda vya tumbo kubwa (Gastric Ulcers): Aina hii ya vidonda vya tumbo hutokea kwenye mfuko wa kuhifadhia Read more…
AINA 4 ZA WANAWAKE AMBAO HAWAWEZI KUOLEWA Makala hii inaeleza juu ya aina 4 za wanawake ambao hawawezi kuolewa au wanaolewa kwa kuchelewa sana. Vitu vingi ninavyojadili hapa ni tabia na zinaweza kurekebishika iwapo mhusika atakuwa tayari kubadilika. Kwenye maisha Read more…
Vitu 6 wanawake wanatakiwa kufanya ili kujikinga na uvimbe kwenye kizazi Inakadiriwa asilimia 70 mpaka 80 ya wanawake wanaweza kupatwa na ugonjwa huu katika safari yao ya kuishi. Hata hivyo si wanawake wote wenye uvimbe kwenye kizazi wanaweza kuonyesha dalili Read more…
CHANZO CHA KUFUNGA AU KUPATA CHOO KIGUMU WAKATI WA UJAUZITO Kipindi cha ujauzito ni kipindi cha furaha kubwa kwa mwanamke yoyote. Hata hivyo kuna baadhi ya mabadiliko ya kiafya yanayoweza kukutokea unapokuwa na ujauzito ambayo yanaweza kukuondolea furaha hiyo ikiwemo Read more…
Jinsi ya kuimarisha afya ya mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula Ili kuimarisha mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula unahitaji kula zaidi vyakula vyenye bakteria wazuri. Tumboni kwako kuna bakteria wa aina mbili, bakteria wazuri na bakteria wabaya na kwa Read more…
Je wanawake huwa wanataka mwanaume adumu muda gani kitandani Watu wengi wamekuwa wakiamini kwamba mwanaume anapochelewa sana kufika kileleni basi ndiyo tendo la ndoa linakuwa tamu jambo ambalo si kweli. Umekuja hapa ukitafuta jibu la swali hili na usijifikirie upo Read more…
VITU 6 NILIVYOJIFUNZA KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO 1. Vinaweza kumpata mtu yeyote. Mwanzoni mwa miaka ya 1980 wakati madaktari na watu wengine wote walipokuwa wakiwaambia watu kwamba vidonda vya tumbo vilikuwa vinasababishwa na msongo wa mawazo (stress) na vyakula Read more…
NJIA ZINGINE MPYA 8 ZA KUONDOA TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI Kati ya matatizo makubwa kabisa yanayowasumbuwa wanaume katika suala la kujamiiana ni kufika kileleni mapema. Takwimu zisizo rasmi zinasema kuwa, wanaume 7 kati ya 10 wanapatwa na tatizo hii. Read more…
CHAKULA CHA MAMA MJAMZITO Kwa ajili afya ya mama na mtoto ni muhimu sana, mwanamke anatakiwa apate chakula bora kilicho na madini yote kama vitamini na protini. Mama mjamzito anatakiwa apate gramu 100 za protini kila siku. Ifuatayo ni mlo Read more…
Tendo la ndoa hupunguza hatari ya kupata saratani ya tezi dume Katika hali ya kawaida inaelezwa kushiriki tendo la ndoa kuna faida nyingi kiafya, hata hivyo kushiriki tendo la ndoa mara nyingi kupita kiasi kunaweza kusababisha matatizo ya msingi ambayo Read more…
Vitu 14 vinavyosababisha mimba kuharibika Mimba kuharibika ni tukio linalowatokea wanawake na mamalia wengine wa kike kutokana na shida mbalimbali katika ukuaji wa mimba tumboni mwa mama. Ni tukio tofauti na utoaji mimba ambalo linasababishwa na binadamu kwa makusudi. Matukio Read more…
Mambo 9 ya kushangaza na usiyoyajuwa kuhusu mbegu za kiume Una elimu au uelewa wa kiasi gani kuhusu mbegu za kiume yaani shahawa? Kuna uwezekano mkubwa hujawahi kuwa na muda wowote wa kupeleleza au kujifunza mengi kuhusu mbegu zako. Kama Read more…
VYAKULA VITANO VINAVYOUA NGUVU ZAKO ZA KIUME BILA WEWE KUJUWA Ulivyo ni kile unachokula na kunywa kila siku. You are what you eat. Kama unakula takataka utakuwa takataka na kama unakula vyakula vya afya basi utakuwa afya. Hakuna upendeleo katika Read more…
SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA Ni matumaini yangu umzima wa afya Leo katika mada yangu hii, nataka kuzungumzia zaidi sababu za wanaume wengi kukosa hamu ya tendo la ndoa. Kama ilivyo matatizo mengine, tatizo la Read more…
Madhara 9 ya Vidonda vya tumbo mwilini Vidonda vya tumbo ni majeraha au vidonda ndani ya kuta za tumbo. Majeraha au vidonda hivyo huleta maumivu yanayokera na hutokea mara nyingi tumboni na yanaweza kutibika lakini kama hutachukuwa hatua mapema za Read more…
Kama una stress ni vigumu kupata ujauzito Ni ukweli usiopingika kuwa ndoa nyingi zimepoteza furaha kutokana na watoto kukosekana miongoni mwa wanandoa. Wanawake na wanaume wamejikuta wakiangukia katika mikono ya matapeli wanaojiita waganga na kufanyiwa mambo mengi ya ajabu, Read more…
Tabia 7 zinazokuchelewesha kupona bawasiri 1. Kutokunywa maji ya kutosha kila siku Tafiti zinasema kutokunywa maji ya kutosha kila siku kunaweza kukuletea ugonjwa wa bawasiri. Kama haunywi maji mengi ya kutosha kila siku ni rahisi sana wewe kupatwa na tatizo Read more…
Uhusiano wa vidonda vya tumbo na saratani ya tumbo Kwa kawaida vidonda vya tumbo husababishwa na bakteria aitwaye Helicobacter pylori au kwa kifupi H. pylori. Watu wawili katika kila watu watatu hapa duniani wana huyu bakteria tumboni mwao Na ingawa Read more…
Hadithi namba 1: Ukiugua bawasiri hata ukipona utarudia kuugua tena na tena. Ukweli ni upi: Madai haya hayana ukweli wowote hasa kwa yule ambaye amepata ugonjwa huu kwa sababu za muda mfupi tu kama vile ujauzito. Kwa kawaida ukitibiwa ugonjwa Read more…
Bawasiri ni nini? Bawasiri au Kikundu au Puru ni hali ya kuvimba kwa mishipa ya damu katika njia ya haja kubwa. Kwa Kiingereza hujulikana kama Hemorrhoid au Piles. Katika hatua yake ya kuonekana wazi ugonjwa hujitokeza kama uvimbe au vivimbe kadhaa kwenye maeneo ya Read more…
Usile vyakula hivi kama unaumwa Bawasiri Wagonjwa wengi ninaokutana nao wakitafuta dawa ya bawasiri baadhi yao wamekuwa wakisema nahitaji dawa kwa ajili ya rafiki au ndugu yangu fulani na siyo kujisema wao moja kwa moja kwamba ndiyo wanaoumwa! Uwe na Read more…
Jinsi uchovu sugu unavyoleta upungufu wa nguvu za kiume Uchovu unaotokana na kazi ni zaidi ya kuchoka kwa kawaida, na unazidi uchovu unaosababishwa na shughuli za kila siku. Dalili za uchovu huo ni kuchoka kupita kiasi kwa muda mrefu na Read more…
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri na baraka ambayo wanaisubiri kutoka kwa Mungu (mtoto). Mojawapo ya mambo ambayo yanatia furaha Read more…
Mimba huanza kuonekana baada ya siku ngapi Haya ni maswali ninayoulizwa mara kwa mara; Dalili za kupata mimba ni zipi Muda gani mimba inajulikana Mimba inaonekana muda gani Mimba hupimwa muda gani Mimba huanza kuonekana muda gani Mimba hugundulika baada Read more…
UKOSEFU WA USINGIZI UNAWEZA KULETA UGUMBA KITENDO cha kukosa usingizi mara kwa mara wakati wa kulala kuna weza kuonekana ni jambo ambalo halina madhara kiafya, lakini ukweli ni kwamba unapokosa usingizi, hasa kwa muda mrefu, kuna athari kubwa katika afya Read more…
Usile vyakula hivi muda mchache kabla ya tendo la ndoa Ni usiku wa mahaba leo. Wakati unajipanga juu ya mavazi utakayovaa bila shaka kunaweza kuwa na chakula cha pamoja kabla ya kwenda kulala ili kuongeza kidogo hali ya kuwa pamoja. Read more…
Namna wanawake wanavyochangia upungufu wa nguvu za kiume kwa waume zao Wanawake wanahusika pia na upungufu wa nguvu za kiume Kesi ya wanaume kupungukiwa nguvu za kiume zimezidi kushika kasi, kiasi cha kufanya dawa za kuongeza nguvu hizo kuwa maarufu Read more…
Vidonda vya tumbo husababisha upungufu wa nguvu za kiume Hapo kabla tumejifunza mengi kuhusu ugonjwa wa VIDONDA VYA TUMBO. Baadaye tukajadili kwa kirefu juu ya DALILI 21 ZA VIDONDA VYA TUMBO. Kama hukubahatika kupata somo hili pia unaweza kulisoma kwa Read more…
Jinsi ya kupata mtoto wa jinsia ya kiume Uzazi wa mpango ni jumla ya vitu vingi sana. Uzazi wa mpango hauhusu kuzuia kupata ujauzito tu bali hata kupangilia idadi na jinsia za watoto ni moja ya njia za uzazi wa Read more…
Tiba ya bawasiri bila upasuaji Bawasiri ni ugonjwa gani? Bawasiri ni nini? Bawasiri au Kikundu au Puru ni hali ya kuvimba kwa mishipa ya damu katika njia ya haja kubwa. Kwa Kiingereza hujulikana kama Hemorrhoid au Piles. Katika hatua yake ya kuonekana wazi ugonjwa Read more…
Vyakula ambavyo mgonjwa wa vidonda vya tumbo hatakiwi kula Mgonjwa wa vidonda vya tumbo ni lazima uwe makini sana na chakula unachokula kila siku. Chakula unachokula kila siku kitaamua ikiwa dawa unayotumia kutibu vidonda vya tumbo itakuponya na kukuacha huna Read more…
JINSI YA KUACHA PUNYETO Punyeto ni tendo lolote la kujitafutia ashiki binafsi hasa kwa kuchochea viungo vya uzazi. Wanaochukua hatua hiyo ili wajipatie kionjo cha kuridhisha kinachofanana na kile cha tendo la ndoa kwa kawaida wanasukumwa na msisimko uliowapata, pamoja Read more…
Kwenye makala hii nakuonyesha dalili za mimba zote za mwanzo na zile za baada ya miezi miwili hivi. Kama unataka kujuwa siku zako za hatari tumia kikokotoo (calculator) hiki hapa chini, andika tarehe ya siku ya kwanza ulipoona hedhi yako Read more…
CHAKULA CHA MGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO Unachotakiwa ni kufanya utafiti au kujisomea mwenyewe sehemu mbalimbali aina ya vyakula na vinywaji vyenye alkalini nyingi, hivi ndiyo vyakula upendelee kula zaidi. Wakati huo huo wewe mwenyewe binafsi jisomee huko na huko Read more…
Namna msongo wa mawazo unavyoleta tatizo la kuwahi kufika kileleni Hali ya mfadhaiko inasemwa kutokea wakati ubongo unapokabiliana na tatizo la mvurugiko wa akili na kujikuta ukishindwa kuendana na hali zingine zinazohitaji umakini kwa wakati mmoja. Jambo hili linaweza kuuteka Read more…
Pengine tayari unafahamu kuwa kutokujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara ni hatari kwa afya yako ya nguvu za kiume. Ndiyo hilo ni jambo ambalo kila mtu analijuwa (common sense). Jina langu naitwa Fadhili Paulo. Endelea kusoma … Mara Read more…
Kupitia makala hii nitakueleza kwanini mazoezi ya viungo ni mhimu sana kwa nguvu za kiume. Pia utapata kuona mazoezi manne maalumu kabisa kwa kazi hii. Zingatia sana umhimu wa mazoezi ya viungo. Bila kujishughulisha na mazoezi ya viungo kila siku Read more…
Katika makala hii nitakueleza juu ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume kwa haraka zaidi na nitakueleza chakula kimoja baada ya kingine kiundani zaidi. Jina langu naitwa Fadhili Paulo. Endelea kusoma … Unachotakiwa ni kujijengea mazoea ya kuhakikisha mlo wako kwa Read more…
Katika makala hii nitakueleza Vyakula ambavyo mwanaume hatakiwi kula ili kubaki na afya bora wakati wote. Kuna vingine unaweza kuwa unavitumia kila siku bila mwenyewe kujuwa. Awali ya yote elewa tu kuwa hii ni orodha ndogo sana katika vyakula ambavyo Read more…
Makosa wafanyayo wanaume wengi wakiwa kitandani 1.Kosa la kwanza : KUWA MBALI NA MWILI WA MWANAMKE Wakati unashiriki tendo la ndoa mwanamke anapata Raha zaidi Ikiwa mwanaume utamlalia mwili wako wote juu yake Wanaume wengi hawajuwi hili. Usiweke mikono yako Read more…
Swali: Je Punyeto ni dhambi kwa mjibu wa Biblia? JIBU: Biblia haisemi moja kwa moja wala kutaja punyeto kama ni dhambi. Aya ya kwenye Biblia ambayo mara nyingi huwa inanukuliwa ikihusishwa na punyeto ni habari ya Onan kwenye kitabu cha Read more…
Wakati unatafuta ujauzito chakula au vinywaji unavyotumia vina mchango mkubwa katika kufanikisha wewe upate ujauzito. Ulivyo ni kile unachokula kila siku. Unahitaji kuwa makini sana miezi mitatu mpaka sita kabla hujapata ujauzito. Uangalizi pia uendelee hata baada ya kuwa umepata Read more…
MAZOEZI YANAYOONGEZA NGUVU ZA KIUME Zingatia sana umhimu wa mazoezi ya viungo. Bila kujishughulisha na mazoezi ya viungo kila siku itakuwa ni vigumu sana kwako kupona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Kutengeneza mishipa na kupunguza uzito isiwe ndiyo Read more…
Hiki ni kitabu kinachoeleza kila unalohitaji kufahamu kuhusu nguvu za kiume Kwenye hiki kitabu utajifunza vitu vifuatavyo; Nguvu za kiume ni nini Nini kinasababisha kushuka au kupungua nguvu za kiume Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume Mazoezi ya viungo yanayoongeza nguvu Read more…
Chakula cha mwanaume anayetafuta ujauzito Wakati uliopita tulisoma vyakula hivyo upande wa mwanamke na msisitizo ilikuwa ni vyakula vyenye folate au folic acid. Kumbe kwa upande wa mwanaume msisitizo ni vyakula vinavyotoa sumu mwilini. Tutaona vyanzo vya sumu kwenye miili Read more…
MIMBA KUHARIBIKA MASWALI NA MAJIBU Hapo kabla tulisoma kuhusu dawa ya kuzuia mimba kuharibika, tuliona nini husababisha hali hiyo, dalili zake na vitu vinavyosababisha tatizo hili. Leo tutaangalia baadhi ya maswali na majibu kuhusiana na mimba kuharibika na ikiwa unalo Read more…
Mimba kuharibika ni tukio linalowatokea wanawake na mamalia wengine wa kike kutokana na shida mbalimbali katika ukuaji wa mimba tumboni mwa mama. Ni tukio tofauti na utoaji mimba ambalo linasababishwa na binadamu kwa makusudi. Matukio yote mawili kwa kawaida yanaleta Read more…
Dawa ya kurekebisha mzunguko wa hedhi Hili ni tatizo linalowatokea karibu wanawake wote katika safari yao ya kuishi hapa chini ya jua. Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huanza ghafla au polepole ambapo mwanzo mwanamke alikuwa akipata siku zake Read more…
Chakula cha Mwanamke anayetafuta Ujauzito Fanya mabadiliko haya kwenye mlo wako ili kuboresha afya yako ya uzazi. Je unatafuta ujauzito? Unajuwa ni chakula kipi upendelee kula ili kuongeza uwezekano wa kupata ujauzito au kuimarisha afya ya ujauzito kwa ujumla? Kwenye Read more…
Siku ya hatari kwa mwanamke kushika mimba Tumia kikokotoo (calculator) hiki hapa chini kufahamu siku zako za hatari, andika tarehe ya siku ya kwanza ulipoona hedhi yako ya mwisho na ujaze mzunguko wako una siku ngapi kisha bonyeza TUMA na Read more…
Huenda umesikia hadithi fulani kuhusu jinsi ya kupata mimba au jinsi ya kuhakikisha hupati mimba. Kwa kweli, mbinu ya hakika ya kutopata mimba ni kutofanya mapenzi. Kutofanya mapenzi pia kutakuzuia kupata magonjwa ya zinaa. Watoto hutengenezwa wakati mbegu za kiume Read more…
Hii ni dawa ya asili ya kupata mimba haraka inayosaidia pia kuweka sawa homoni, kuondoa uvimbe kwenye kizazi, kupevusha mayai, kuzuia ujauzito usitoke, kutibu chango la uzazi, kuzibua mirija ya uzazi, kutibu maambukizi kwenye kizazi (PID) na matatizo mengine mengi Read more…
Dawa ya vidonda vya tumbo. Katika makala hii nitakueleza kiundani juu ya dawa ya vidonda vya tumbo. Vidonda vya tumbo ni majeraha au vidonda ndani ya kuta za tumbo. Vidonda vya tumbo husababishwa na nini? Kwa kawaida vidonda vya tumbo Read more…
Katika makala hii nitakueleza kiundani dalili za vidonda vya tumbo. Vidonda vya tumbo ni majeraha au vidonda ndani ya kuta za tumbo. Vidonda vya tumbo husababishwa na nini? Seli ndani ya mwili lazima zibaki katika kiasi kidogo cha alkalini kutoka Read more…
Madhara ya kupiga punyeto kwa wanaume Tunahitaji mahusiano ili tuongezeke na hili haliwezi kufanikiwa bila kushiriki tendo la ndoa kati ya watu wa jinsia mbili tofauti. Hisia hizi huanza kujitokeza pale mtu anapofikia wakati wa kubarehe. Hapa ndiyo wakati mgumu Read more…
Dawa ya kuongeza mbegu za kiume Mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha anahitaji kuwa na mbegu zisizopungua milioni 20, chochote chini ya hapa kinaweza kuwa sababu ya kutokutungisha ujauzito. Ikitokea umegundulika kuwa na mbegu chache, ni nyepesi sana na hazina nguvu Read more…
Dawa ya saratani ya tezidume Tezi ya prostate ni tezi yenye umbile la donati, iliyoko chini ya kibofu cha mkojo. Tezi hii huzungukwa na mirija ya mkojo na uhusika uzalishaji wa maji maji yanayohusika na urutubishaji na usafirishaji wa mbegu Read more…
Homoni zina mchango mkubwa katika afya kwa ujumla katika mwili wa mwanamke hasa linapokuja suala la uzazi. Mara nyingi usawa usio sawa wa homoni husababishwa na mabadiliko katika homoni ya ‘estrogen’. Mabadiliko haya mara nyingi hutokea wakati wa kuvunja ungo, Read more…
Dawa ya asili ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke Hili ni tatizo ambalo nimekuwa nikiulizwa mara nyingi sana na wanawake wengi kwa muda sasa na mwanzoni nilikuwa nalichukulia poa lakini kadri siku zinavyoenda naendelea kuona wengi zaidi Read more…
Dawa ya P.I.D P.I.D ni ugonjwa gani? Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke (PID) Maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke hujulikana kwa kitaalamu kama ‘Pelvic Inflamatory Diseases’ yaani P.I.D P.I.D ni ugonjwa mpya katika jamii yetu na ni Read more…
Dawa ya uvimbe kwenye kizazi Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana kama ‘uterine myoma’ au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi. Uvimbe huu hutokea katika sehemu mbalimbali juu au ndani ya mji wa Read more…
Dawa ya kuongeza nguvu za kiume NGUVU ZA KIUME NI NINI? Nguvu za kiume ni neno linalotumika mara nyingi kumaanisha ‘Uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa’. Na inapokuwa tofauti na hivi, tunaita ni ‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’. Read more…
Siku za kuwa mwezini kwa kawaida kwa mwanamke huwa ni kati ya siku 3 mpaka 7. Hata hivyo hutokea kwa baadhi ya wanawake hasa wale wenye umri mkubwa wanapata hedhi kwa siku nyingi zaidi ya siku 7 na huambatana na Read more…
Dawa ya kupevusha mayai ya uzazi Kama mwanamke, afya nzuri ya mayai ya uzazi ni mhimu kwa ajili ya kuwa na mzunguko mzuri wa hedhi na kuwa na uwezo wa kushika ujauzito. Je ni dawa gani nzuri ya asili kwa Read more…